Eti best, hivi ingekuwa vp km kabla hujaungana urafiki na mtu humu fb tungekuwa tunajaza form ya maombi na muombaji akaipitia kwa kina kabla hajakuadd??? Usishangae, kuna marafiki humu mie siwaelewi kabisa. Unaandika mada ya ukimwi na jinsi ya kujikinga lkn yeye anaingia kwenye mada yako na kuongelea kilimo cha chai Katumba Tukuyu!!! Hii inakaaje????
2.
0 maoni: