Kupitia akaunti ya Sony Music Africa ya mtandao wa kijamii wa twitter, imeripotiwa na kudhibitsha kuwa ni kweli Album hiyo imefanikiwa kuvunja rekodi kwa kushika nafasi ya kwanza katika nchi 104 tofauti… na hii hapa chini ndiyo tweet iliyotoa habari kuhusiana na Album hiyo …
0 maoni: